Michezo ya Olimpiki ya majira ya joto mwaka 2024 inafanyika katika jiji la Paris nchini Ufaransa chini ya kiwingu cha mashaka ya kisiasa nchini humo, kufuatia uchaguzi wa bunge wa mapema ambao haukutoa mshindi wa wazi.
Kusikiliza matangazo, tafadhali bonyeza alama ya spika ya masikioni hapo chini, na kuwasiliana nasi: [email protected]
Mahojiano ya moja kwa moja ya kila wiki na masuali magumu kwa mmoja wa watu muhimu kuhusu jambo muhimu lililotokea katika mataifa ya Afrika ya Mashariki na Kati.