Nenda kwa yaliyomo

Mto Nyamindi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Nyamindi unapatikana katika kaunti ya Kirinyaga, katikati ya Kenya.

Ni tawimto la mto Tana ambao ndio mrefu kuliko yote nchini na unaishia katika Bahari ya Hindi.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]