Nenda kwa yaliyomo

Matteo Galvan

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Matteo Galvan

Matteo Galvan (alizaliwa 24 Agosti 1988) ni mwanariadha nchini Italia ambaye alibobea katika mbio za mita 200 na 400.Kivutio chake ni Mashindano ya Ndani ya Uropa ya mwaka 2009, alishika nafasi ya sita katika mbio za mita 400 na kushinda medali ya dhahabu katika mbio za kupokezana vijiti. Pia alishinda ubingwa mara saba kitaifa katika ngazi ya wakubwa mnamo mwaka 2008 hadi 2016 katika mashindano ya mbio tatu tofauti za mita (100, 200 na 400).[1]

  1. FIDAL. "Italy World Junior Squad announced", IAAF.org, 25 July 2006. 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Matteo Galvan kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.