Nenda kwa yaliyomo

Giovanni Faloci

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Giovanni Faloci (alizaliwa 13 Oktoba 1985) ni mrusha kisahani kutoka Italia. Alishindana kwenye michezo ya Olimpiki 2020 majira ya joto, kwenye kurusha kisahani[1]

  1. "Athletics FALOCI Giovanni - Tokyo 2020 Olympics". olympics.com (kwa American English). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-10-02. Iliwekwa mnamo 2021-10-02.