Nenda kwa yaliyomo

Dulsidi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Dulsidi (pia: Dulcidius, Dulcidus, Dulcius, Dulcide, Doucet, Doucis, Doux, Dulcet; karne ya 4 - karne ya 5) alikuwa askofu wa Agen, leo nchini Ufaransa, baada ya Febadi[1].

Kama huyo, yeye pia ni maarufu kwa msimamo wake katika imani sahihi akilinda waamini dhidi ya uzushi[2].

Tangu zamani anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 17 Oktoba[3].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. It is said that Dulcidius was a pupil of Phoebadius, and was designated by him as his successor. On the death of Bishop Phoebadius, the people of Agen acclaimed Dulcidius, and enthroned him in the cathedral. Dulcidius built the basilica in honor of Saints Caprasius and Foi. The building is mentioned by Gregory of Tours, Historia Francorum Book VI, chapter 12, written in the last quarter of the 6th century. Sainte-Marthe, Gallia christiana II, pp. 897-898. Duchesne, p. 63 no. 2.
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/93817
  3. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.