Nenda kwa yaliyomo

Baha'i

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Bahai)
Bahá'í symbol.
Makao makuu ya Bahá'í, huko Haifa, Israel.

Imani ya Kibahá'í (kwa Kifarsi |بهائی.) ni dini inayofundisha kuabudu Mungu pekee.

Mwanzilishi wake alikuwa Baha'ullah aliyetokea Uajemi, (leo Iran) katika karne ya 19, aliyesisitiza umoja wa kiroho wa binadamu wote.[1]

Leo wafuasi wa dini hiyo duniani kote ni kati ya milioni 5 na 6.[2][3]

Katika imani ya Kibahá'í, historia inatazamwa kama mfululizo wa wajumbe wa Mungu walioanzisha dini mbalimbali kulingana na mahitaji ya wakati na watu. Kati yao kuna Abrahamu, Buddha, Yesu, Muhammad na wengineo.

Hatimaye walitokea Báb na Bahá'u'lláh kukamilisha yote ili kuleta amani, haki na umoja.[4]

Bahá'í Temple, Ingleside, Sydney, Australia
Alama za dini mbalimbali zilizochongwa katika nguzo ya Nyumba ya Ibada ya Kibaha'i huko Wilmette, Illinois, Marekani.
Ringstone symbol inamaanisha uhusiano wa watu na Mungu.
Patakatifu pa Báb huko Haifa, Israel.
Nyumba ya Ibada ya Kibahá'í huko New Delhi, India inayovutia kila mwaka watalii milioni 4 kwa wastani.
Bustani ya Wabahá'í huko Haifa, Israel.
Mwandiko mzuri wa jina kuu.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Houghton 2004
  2. Bahá'í statistics for a breakdown of different estimates.
  3. Hutter 2005, pp. 737–40
  4. Smith 2008, pp. 107–9
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.