Nenda kwa yaliyomo

Kiewe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.

Kiewe ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Ghana na Togo inayozungumzwa na Waewe. Mwaka wa 2003 idadi ya wasemaji wa Kiewe nchini Ghana imehesabiwa kuwa watu 2,250,000. Pia kuna wasemaji 862,000 nchini Togo. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiewe iko katika kundi la Kikwa.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiewe kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.