Ugiriki
Mandhari
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Ελευθερία ή Θάνατος (Eleftheria i thanatos - "Uhuru au mauti") | |||||
Wimbo wa taifa: Ύμνος εις την Ελευθερίαν - "Wimbo la Uhuru" | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Athens | ||||
Mji mkubwa nchini | Athens | ||||
Lugha rasmi | Kigiriki | ||||
Serikali | Jamhuri Karolos Papoulias George Papandreou | ||||
Uhuru Ilitangazwa Ilitambuliwa |
25 Machi 1821 1829 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
131,990 km² (ya 96) 0.8669 | ||||
Idadi ya watu - 2005 kadirio - 2001 sensa - Msongamano wa watu |
11,244,118 (ya 74) 10,964,020 84/km² (ya 108) | ||||
Fedha | Euro (€)2 (EUR )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
EET (UTC+2) EEST (UTC+3) | ||||
Intaneti TLD | .gr 3 | ||||
Kodi ya simu | +30
- | ||||
1 Wananchi walikataza kurudi kwa ufalme tar. 8 Desemba 1974. 2 Prior to 2001: Greek Drachma. |
Ugiriki (pia: Uyunani; kigir.: Ελλάδα (elada) au Ελλάς (elas) ni nchi ya Ulaya Kusini-Mashariki katika kusini ya rasi ya Balkani. Imepakana na Albania, Jamhuri ya Masedonia, Bulgaria na Uturuki.
Upande wa kusini-magharibi na kusini-mashariki kuna pwani ndefu na Bahari ya Mediteranea.
Baharini kuna visiwa vingi sana ambavyo ni sehemu za Ugiriki.
Ugiriki ni nchi yenye historia ndefu na maarufu sana, hata inaitwa "nchi mama ya Ulaya".
Lugha ya Kigiriki inaendelea kuandikwa kwa Alfabeti ya Kigiriki inaotumiwa tangu miaka 3000, lakini lugha yenyewe imebadilika. Wagiriki wa leo hawaelewi tena Kigiriki cha Kale moja kwa moja.
Ugiriki ni nchi mwanachama wa Umoja wa Ulaya tangu 1981.
Viungo vya nje
- (Kiingereza) (Kifaransa) (Kigiriki) Rais wa Ugiriki
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Ugiriki kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |