Usultani
Mandhari
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/e/e9/Qabus_bin_Said.jpg/200px-Qabus_bin_Said.jpg)
Usultani ni nchi au eneo chini ya mamlaka ya Sultani. Katika mazingira ya Kiislamu jina limelingana mara nyingi na "Ufalme" ingawa limetumiwa pia na watawala wa ngazi za chini.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |