Nenda kwa yaliyomo

Kilomita ya mraba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.

Kilomita ya mraba (km²) ni kipimo cha eneo; eneo lenye upana na urefu wa kilomita moja

Msingi wake ni mita ya mraba (m²). Kilomita ya mraba hutumika kwa upimaji wa maeneo makubwa duniani kama mji, mkoa, nchi au dunia yote.

Kilometa 1 ya mraba (km²) ni sawa na:

  • eneo la mraba yenye urefu wa kilomita moja kila upande
  • Mita ya mraba 1,000,000
  • Hektari 100
  • Ekari 247.105 381
  • Maili ya mraba 0.386 102

Au:

  • Mita ya mraba 1 = kilometa ya mraba (km²) 0.000 001
  • Hektari 1= kilometa ya mraba (km²) 0.01
  • Maili ya mraba 1 = kilometa ya mraba 2.589 988
  • Ekari 1 = kilometa ya mraba 0.004 047