Wizara ya Mazingira ya Uruguay
Mandhari
Wizara ya Mazingira ni wizara ya serikali ya Uruguay inayoshughulikia Mazingira ya Uruguay. Iliundwa Julai 9 mwaka 2020, na Waziri wa sasa wa Mazingira ni Adrián Peña, ambae ameshikilia nafasi tangu Agosti 27 mwaka 2020.[1]