Nenda kwa yaliyomo

Uprogramishaji unde

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 11:41, 19 Novemba 2020 na UmojaWetu (majadiliano | michango)
Makala ya kisayansi kuhusu uprogramishaji unde.

Katika utarakilishi, uprogramishaji unde (kwa kiingereza: structured programming) ni aina ya uprogramishaji inayolengwa kuboresha uwazi, ubora na muundo wa lugha za programu.

Kwa mfano, uprogamishaji unde unatumika kwenye lugha za programu kama C au C++.

Marejeo

  • Kiputiputi, O. (2011). Kamusi sanifu ya kompyuta. Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, K.602.