Nenda kwa yaliyomo

Aina ya uprogramishaji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 13:34, 18 Novemba 2020 na UmojaWetu (majadiliano | michango)
Mchoro wa aina za uprogramishaji.

Katika utarakilishi, aina ya uprogramishaji (kwa kiingereza: programming paradigm) ni njia ya kupanga lugha za programu inayotegemea maumbo yao.

Kwa mfano, uprogramishaji kiviumbile inatumika kwenye Python au JavaScript na uprogramishaji kikadhia inatumika kwenye Haskell au PHP.

Marejeo

  • Kiputiputi, O. (2011). Kamusi sanifu ya kompyuta. Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, K.602.