Nenda kwa yaliyomo

Laholm

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 03:07, 18 Februari 2013 na EmausBot (majadiliano | michango) (r2.7.3) (Boti: Inarbadilisha nl:Laholm (plaats) hadi nl:Laholm (stad))
Kanisa la Laholm

Laholm ni mji na manispaa nchini Uswidi. Kuna wakazi 5 835 (mwaka 2005). Iko kando ya mto Lagan.

Jiografia

Eneo lake ni 4.12 km². Umbali na Jiji la Malmö ni 100 km.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Laholm kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.