Papa Theodor II alikuwa Papa kwa siku ishirini tu hadi kifo chake mwezi wa Desemba 897 au Januari 898[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Papa Theodori II.

Jina lake la kuzaliwa pia lilikuwa Theodorus.

Alimfuata Papa Romanus akafuatwa na Papa Yohane IX.

Tazama pia

hariri

Tanbihi

hariri

Viungo vya nje

hariri
  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Theodor II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.