Maksimiliani wa Lorch
Maksimiliani wa Lorch (labda katika Slovenia ya leo, karne ya 3 – katika Austria ya leo, 288) alikuwa askofu mmisionari wa eneo la Noriko katika Ulaya ya Kati (leo Austria, Slovenia na Bavaria) aliyepewa jina la "Mtume wa Noriko"[1][2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
haririTanbihi
haririMakala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |